AUDIO:HIKI HAPA KICHWA KIPYA CHA HIP HOP KUTOKA KENYA,KARIBU UPAKUE NA USIKILIZE KAZI YAKE - CAPITAL TZ BLOG DODOMA

Latest

BANNER 728X90

Tuesday, 25 April 2017

AUDIO:HIKI HAPA KICHWA KIPYA CHA HIP HOP KUTOKA KENYA,KARIBU UPAKUE NA USIKILIZE KAZI YAKE

Picha ya Felix Mulinge
Felix Mulinge a.k.a Punchline Assasin ni msanii wa Hip Hop kutoka +254 Kenya ameibuka na single yake mpya inayoitwa Ukilya Moko.

Tayari msanii huyo amewahi kutamba na single kadhaa ikiwemo Wacha Story ambazo zimewahi kufanya vizuri katika radio kubwa nchini Kenya.

Zaidi msikilize na upakue audio yake hapa chini akiitambulisha single hiyo mpya