Video: Nay wa Mitego akitoka kituo cha polisi na alichokiongea - CAPITAL TZ BLOG DODOMA

Latest

BANNER 728X90

Monday, 27 March 2017

Video: Nay wa Mitego akitoka kituo cha polisi na alichokiongea

Muda mfupi baada ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, kuagiza Jeshi la Polisi kumuachia huru Msanii Nay wa Mitego ambaye alikuwa akishikiliwa na Jeshi hilo kwa tuhuma za wimbo wake wa ‘WAPO’ kutokuwa na maadili, Nay wa Mitego ametoka kituoni hapo leo March 27 2017.


Msanii Nay wa Mitego akitoka kituo cha polisi kati ikiwa ni muda mfupi baada ya agizo la Waziri Mwakyembe kutaka aachiwe huru




'Asante kwa wote walioamka na kuwa upande wangu, upande wa haki, walioamini kile ambacho nimekifanya nawashukuru sana'-Nay wa Mitego