Juzi wanafunzi 32 wa darasa la saba, walimu 2 na dereva wa gari la shule ya msingi iitwayo Lucky Vicent ya Arusha walifariki dunia majira ya saa 3 asubuhi baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali katika eneo Rhotia Marera, Wilaya ya Karatu Mkoani Arusha.Angalia picha hapa chini
Monday, 8 May 2017
New
PICHA ZA WANAFUNZI 32,WALIMU 2 NA DEREVA WA SHULE YA LUCKY VICENT WALIOFARIKI KWENYE AJALI YA GARI KARATU - ARUSHA
About thecapitaltz
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Habari
Labels:
Habari