
Kifesi ni moja kati ya wapiga picha maarufu Tanzania na umaarufu wake ulipatikana baada ya kuwa official photographer wa Diamond Platnumz. Amepiga story nyingi naMillardayo.com na AyoTV kuanzia elimu yake, alivyokutana na Diamond, mafanikio aliyopata kutokana na kazi yake hiyo na mengine mengi.
Bonyeza Play hapa chini kutazama FULL Interview na Kifesi