“NAVUTA BANGI LAKINI SITUMII MADAWA” – TID AFUNGUKA - CAPITAL TZ BLOG DODOMA

Latest

BANNER 728X90

Sunday, 7 July 2013

“NAVUTA BANGI LAKINI SITUMII MADAWA” – TID AFUNGUKA


Mtangazaji wa kipindi cha The Sporah Show, Sporah Njau hivi karibuni alijikuta katika wakati mgumu alipofanya interview na muimbaji mahiri nchini, Khalid Mohamed aka TID kwenye show hiyo kutokana na maswali yake yaliyogusa mambo ya ndani ya mkali huyo.Sporah alimuuliza maswali yaliyogusa masuala mazito katika maisha ya msanii..