Hivi karibuni malkia wa Bongo Flava Tanzania, Lady JayDee alifanya bonge la show katika kuazimisha Miaka 13 tangu aingie kwenye tasnia hii ya muziki …
Show hiyo iliyofanyika Tarehe 14 mwezi huu pale Nyumbani Lounge, ilijawa na watu wengi kiasi cha wengine kushindwa kuingia ndani …
Baada ya hayo yote, msikilize Lady Jaydee akitoa shukrani zake za dhati kwa watanzania wote ambao walimpa ushirirkiano kwa namna moja au nyingine …