Huwezi ukaongea kuhusu R&B nchini bila kumtaja Ben Pol na huwezi kumtaja Ben Pol bila kutaja nyimbo nzuri za R&B zilizoimbwa kwa staili za kikwetu kwetu. Mkali huyu wa R&B ambaye aliibuka na tuzo ya Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013 sasa anakuja kwako kukushukuru katika ziara ya Muziki inayoanzia Dodoma Jumamosi katika uwanja wa Jamhuri.
Friday, 21 June 2013
New
About Unknown
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
