Gari ya Miss Tanzania mwaka 2006 akijulikana kama WEMA SEPETU imeonekana kupata ajali na kuharibika vibaya sana.
Kupitia ukurasa wa Instagram wa mwanadada Wema ametupia picha za ajali hiyo huku pamoja na mtu aliepata ajali na gari hilo ambae ni mfanyakazi wa kampuni yake ya Endeless Fame aliemtaja kwa jina la Robby.
See photos za gari hiyo baada na kabla ya kupata ajali …
Friday, 31 May 2013
New
About Unknown
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.


