M2THEP
aongea na Millard, anaendelea vizuri, kinachomsumbua ni kifua na
kichwa, auliza ngwea yuko wapi, amesema akiendelea na dawa siku mbili
tatu, atajiskia vizuri sana...sikiliza interview
MSIKILIZE M2 THE P AKIZUNGUMZA NA MILLARD AYO
Source: DJ FETTY
