Mwanamke mkazi wa Mlimwa, Dodoma, Fatuma Mohamed, anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumuua mtoto wa mke mwenzake, kisha kutumbukiza mwili wake kwenye karo la maji. Mtoto aliyeuawa, Subira Ganyara mwenye umri wa mwaka mmoja, aliibwa Aprili 19 nyumbani kwa mama yake Agnes Yohana saa 3 usiku wakati akiwa amelala chumbani. Mtoto huyo alipatikana Aprili 20, akiwa amenyongwa na kutumbukizwa kwenye karo la maji lililokuwa wazi.
Friday, 22 April 2016
New
MWANAMKE MKAZI WA MLIMWA, DODOMA, FATUMA MOHAMED, ANASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA KUMUUA MTOTO WA MKE MWENZAKE,
About thecapitaltz
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Dodoma
Labels:
Dodoma