Walichokisema Ben Pol, Baraka Da Prince na Jux kuhusiana na Show ya LEO Dodoma | VIDEO - CAPITAL TZ BLOG DODOMA

Latest

BANNER 728X90

Thursday, 2 March 2017

Walichokisema Ben Pol, Baraka Da Prince na Jux kuhusiana na Show ya LEO Dodoma | VIDEO


March 3 2017 mastaa wa Bongofleva Juma JuxBarakah Da Prince na Ben Polwameandaa show kwa watu wao Dodoma ambayo itakuwa ni Live show mwanzo mwisho yaani bilakutumia CD na itafanyika Royal Village huku wakiwa wameipa jina la ‘333Experience‘ huku MC wakiwa ni Bdozen na MC Pilipili.
Sasa Good News ni kwamba mastaa hao wameamua kushow love kwa wasanii chipukizi kutoka Dodoma ambapo kazi ni mojatu wasanii watashindanisha kuimbi na yule atakayembuka mshindi atapewa shavu la kurekodiwa ngoma zake bure huku kazi yote ya usimamizi ikiwa kwao.
Yapo mengi wameyazungumza mbele ya waandishi wa habari Dodoma leo na tayari full video nimekuwekea hapa chini mtu wangu….

VIDEO: Kutana na Miss Kiki, Mtanzania maarufu South Africa kuliko Bongo