VIDEO-YANGA KUSAFIRI KESHO KUIFUATA ZANACO FC - CAPITAL TZ BLOG DODOMA

Latest

BANNER 728X90

Wednesday, 15 March 2017

VIDEO-YANGA KUSAFIRI KESHO KUIFUATA ZANACO FC

Picha ya Fadhili Omary Sizya
Mabingwa watetezi katika michuano ya ligi kuu Tanzania Bara, Yanga Sc kesho watasafiri kuelekea nchini Zambia tayari kwa mchezo wa marudiano dhidi ya Zanaco Fc 

Katibu mkuu wa klabu hiyo Charles Boniface mkwasa amesema taratibu zote zimekamilika ikiwemo maandalizi ya timu itakapofikia

Zaidi nimekuwekea video hapo chini katibu mkwasa anazungumza kuhusu safari