Mtangazaji wa kituo cha runinga cha Channel 10, Cassius Mdami amefariki dunia Jumatano hii mchana katika hospitali ya Mazimbu mkoani Morogoro.
Mtangazaji wa kituo cha runinga cha Channel 10, Cassius Mdami amefariki dunia Jumatano hii mchana katika hospitali ya Mazimbu mkoani Morogoro.