Z ANTO AFIWA NA MAMA YAKE MZAZI - CAPITAL TZ BLOG DODOMA

Latest

BANNER 728X90

Wednesday, 10 July 2013

Z ANTO AFIWA NA MAMA YAKE MZAZI


Msanii wa kizazi kipya Z Anto amefiwa na mama yake mzazi leo mchana,baada ya kuugua kwa muda mrefu saratani ya Ini. Kwa mujibu wa Z Anto #Msiba unafanyika nyumbani kwao kigamboni jijini Dar es Salaam. Tunawapa pole ndugu,jamaa na marafiki wa karibu na familia ya Z Anto ambao wako katika kipindi hiki kigumu na Mungu ailaze mahala pema peponi roho ya marehemu Amen.