BABA WA IZZO BIZNESS NI MFANO WA KUIGWA KWA WASHUA WOTE WANAOWABANIA VIJANA KUFANYA MUSIC WAKIONA KUWA UHUNI - CAPITAL TZ BLOG DODOMA

Latest

BANNER 728X90

Friday, 28 June 2013

BABA WA IZZO BIZNESS NI MFANO WA KUIGWA KWA WASHUA WOTE WANAOWABANIA VIJANA KUFANYA MUSIC WAKIONA KUWA UHUNI


Wazazi wa Izzo Bizness wanamsupport sana mtoto wao katika muziki..!!
baba Izzo anamwambia mwanae Haya nashukuru jitahidini sana kwenye shooting isije ikaharibu wimbo maana wimbo ule #LoveMe ni mzuri sana, alisema baba Izzo wakati akichati na mwanae.