PICHA ZA AJALI MBAYA YATOKEA MAPINGA DARAJANI WATU 5 WAFARIKI HAPO HAPO - CAPITAL TZ BLOG DODOMA

Latest

BANNER 728X90

Monday, 21 March 2016

PICHA ZA AJALI MBAYA YATOKEA MAPINGA DARAJANI WATU 5 WAFARIKI HAPO HAPO

Ajali mbaya yatokea maeneo ya Mapinga Darajani njia ya Bagamoyo Road ikihusisha magari 4 yakiwemo Land Rover, ist, Scania la mchaga, na Nissan Patrol, chanzo cha ajali inasemekana Scania la Mchanga ndio chanzo cha ajali hiyo...

Mpaka sasa wamefariki watu 5 inasemekana kunabaadhi ya watumishi wa bagamoyo walikuwepo kwenye ajali hiyo ila bado hatuja pata habari zao kamili..