HARRY KANE AFANYA KUFURU ENGLAND, ATUNDIKA BAO NYINGI ZAIDI YA KLABU.. - CAPITAL TZ BLOG DODOMA

Latest

BANNER 728X90

Monday 22 May 2017

HARRY KANE AFANYA KUFURU ENGLAND, ATUNDIKA BAO NYINGI ZAIDI YA KLABU..

Picha ya Fadhili Omary Sizya

Harry Kane striker wa Tottenham Hotspurs ameibuka kuwa mfungaji bora katika ligi kuu ya soka nchini England akifanikiwa kupachika bao 29 .

Lakini klabu ya Middlesbrough imemaliza msimu ikishuka na kuungana na vilabu vya Hull City na Sunderland sasa kwao ikiwa klabu imefanikiwa kufunga bao 27.