
Ila story ya kusikitisha zaidi ni kwamba anatamani kufa kwasasa, alianza kujiandaa kwa kifo mwaka 1992 alipokuwa na miaka 122 kwa kujiandalia Jeneza n.k. ila hajafa mpaka leo.
![]() |
| Wajukuu zake wakimhudumia chakula |
Ni mzee ambaye alikuwa na wake wanne (4) na pia alikuwa na watoto 10, ila wote walishakufa , toka mwaka 1988 hakuwa na wake wala watoto toka mwaka huo na toka muda huo analelewa na wajukuu wake.
Anasema kuwa katika maisha yake huwa anakula kila aina ya chakula, na hajawahi kuumwa katika maisha yake.
![]() |
| Hapa akinywa maji |
![]() |
| jeneza ambalo alitengeneza miaka takribani 24 iliyopita |


