TAZAMA VIDEO UONE UMAHIRI WA MEDY BOTION, MSHINDI WA SUPER NYOTA MOROGORO!!!! - CAPITAL TZ BLOG DODOMA

Latest

BANNER 728X90

Thursday, 22 September 2016

TAZAMA VIDEO UONE UMAHIRI WA MEDY BOTION, MSHINDI WA SUPER NYOTA MOROGORO!!!!

Medy Botion ni mkali wa hip hop kutoka Morogoro ambaye kashinda shindano la Super Nyota mkoani humo ikiwa ni maalumu kwa shoo za Fiesta na moja kwa moja anakwenda jijini Dar es Salaam anakokutana na wakali wengine kutoka mikoa tofauti tofauti nchini Tanzania.

The CapitalTz.com tumekusogezea kipande cha interview aliyowahi kufanya katika kituo cha Abood Fm Morogoro, kwenye shoo ya Mega Mix ambayo inaongozwa na Abedy Maulidy Kidunda "Simple Bway", Isaya Mdangu "Star Fake" na dj Ndevu akiwaonyesha umahiri wa mistari ya papo kwa papo "Freestyle" pamoja na uwezo wake wa kuandika mashairi.

Mpaka sasa Medy Botion anatamba na single yake mpya 16 Barz ambayo tayari ametoa na video ya wimbo huo.

                                                 Tazama hapa chini Video hiyo ya Medy Botion