NDUDA ATOLEWA POP, ILA BADO HAJAANZA MAZOEZI NA WENZAKE.. - CAPITAL TZ BLOG DODOMA

Latest

BANNER 728X90

Tuesday, 20 September 2016

NDUDA ATOLEWA POP, ILA BADO HAJAANZA MAZOEZI NA WENZAKE..

 Image result for saidi nduda mtibwa
Hali ya mlinda mlango wa klabu ya Mtibwa suger Said Mohammedi "Nduda" imetajwa kuendelea vizuri baada ya kuondolewa POP kwenye goti lake.

Taarifa kutoka ndani ya klabu hiyo ni kuwa licha ya maendeleo ya majeraha yake kuwa vizuri, bado hajaanza mazoezi na wachezaji wenzake.

Ikumbukwe kuwa jumamosi kikosi cha wakatamiwa hao kiliwabanjua Kagera Suger bao 2-0 katika raundi ya Tano ya michuano ya ligi kuu vodacom Tanzania bara

                         Tazama Highlight za mechi ya Mtibwa Suger Vs Kagera Suger