David Liz amemshukuru kijana ambaye aliwahi kusalimiana nae
miaka mitano baada ya yeye kutoka uwanjani akielekea hotelini.
Luiz anasimulia kuwa siku hiyo kijana huyo alimpongeza kwa
mchezo mzuri kisha akamuaga usiku mwema, anaendelea kueleza mpaka sasa miaka mitano imepita na wiki iliyopita
kwenye mchezo dhidi ya Liverpool alishangaa akiwa anafika hotelini kumwona mtu
akikimbia huku akimwita jina lake huku akimwambia “subiri” “subiri” na
alipomtazama kwa karibu akamkumbuka kijana mdogo na kujua sahivi amekuwa mkubwa na
akamueleza maneno yale ya mara ya kwanza alipokutana nae.
Zaidi ya yote ni jana usiku kwenye mchezo dhidi ya Leicester
city Luiz anasimulia kuwa alimshuhudia kwa umakini kijana huyo na kugundua
kweli amekuwa mkubwa na zawadi pekee aliyoamua kumzawadia ni jezi yake .
Tazama mahiri wa Messi akimpiga tobo Luis Suarez Mazoezini