OMMY DIMPOZ AKAMILISHA ZIARA YA BARA LA ULAYA KWA KUFANYA SHOW YA NGUVU NCHINI SWEDEN. - CAPITAL TZ BLOG DODOMA

Latest

BANNER 728X90

Tuesday, 18 November 2014

OMMY DIMPOZ AKAMILISHA ZIARA YA BARA LA ULAYA KWA KUFANYA SHOW YA NGUVU NCHINI SWEDEN.

                                          
DJ. HERO ALAIN WA STOCKHOLM SWEDEN.

                                                 
  HYPER MAN PRINCE ZE BEST-GÖTEBORG SWEDEN

 INTERNATIONAL RAGGAE&DANCEHALL ARTIST-KABOKU TANZANIANO. GBG-Sweden

                       DJ RICHIE & DJ HERO ALAIN FROM STOCKHOLM-SWEDEN
                                         SUPPORTERS FROM SWEDEN
                                         FLOWERS FROM SWEDEN
               OMMY DIMPOZ AKIPAGAWISHA MASHABIKI ZAKE        
                        
 MASHABIKI WAKIFATILIA SHOW YA OMMY DIMPOZ

Mnamo tarehe 1 mwezi wa kumi na moja mwaka huu 2014,msanii maarufu toka Tanzania wa muziki wa kizazi kipya ajulikanaye kwa jina la Ommy Dimpoz.
Alitua ramsi kwenye bara la ulaya na kuanza ziara ya maonyesho sehemu na miji tofauti kuzunguka bara zima la ulaya,ambapo kwa tarehe 1 novemba alianza kwa kufanya onesho ndani ya jiji la Rotterdam nchini Uholanzi chini ya kampuni mama ya burudani ijulikanayo kwa jina la Biboze Ent.

Aliendelea kuzunguka na nchi zingine mfano Belgium,Germany nk, onyesho lake hili lililofana zaidi nchini Sweden ndilo ilikuwa la mwisho kwenye mzunguko wake huu wa bara la Ulaya na anarejea Tanzania wiki hii kuendelea na maisha ya nyumbani.
Kitu kimoja ambacho hatokisahau Ommy ni kuhusu waandaaji wa Tamasha la mwisho nchini Sweden..Biorn Production Studios ambao pia ni wamiliki wa studios zilizopo Dodoma,Tanzania kwa Jina hilo hilo pale eneo la maili mbili,ambao wamefanya vema kwa upande wao kuhakikisha kila kitu kinakwenda kwa muda kuanzia kwenye malipo,show na vingine viliyosalia.
Kwa mujibu wa maelezo ya ceo wa Biorn production studios zilizopo nchini Sweden Mr.Danny X show hii imefanyika tarehe 15 mwezi Novemba 2014 kwenye ukumbi wa Rågsvedtorget-Folkets hus,Stockholm-Sweden.
Palikuwa na wasanii waliotangulia kufungua show kabla yake,ni wasanii waishio sweden ila wenye asili ya Tanzania. Kaboku Tanzaniano, Adam Kanyama na kundi la wasanii la Black Curtains.

Picha zote kwa hisani ya Biornproduction.

                            MASHABIKI WAKISHANGILIA KWA VIFIJO SHOW YA OMMY DIMPOZ
                             SHANGWE NA NDEREMO VILISIKIKA KILA KONA YA UKUMBI
                    MASHABIKI WAKIFUATILIA ONESHO KWA UKARIBU NDANI YA UKUMBI
                     FURAHA NA NDEREMO VILITAWALA NDANI YA RÅGSVED HUKO SWEDEN
                                        DIMPOZ AKILITAWALA JUKWAA
                                     MREMBO AKISEREBUKA NA OMMY DIMPOZ
                                      SHABIKI AKIELEZEA HISIA ZAKE KWA MZIKI
                           FURAHA ILITAWALA PANDE ZOTE ZA UKUMBI NCHINI SWEDEN
             MSANII WA HIP HOP-ADAM KANYAMA MWENYE ASILI YA TZ&SWEDEN                                
              KABOKU TANZANIANO NA CEO WA BIORN PRODUCTION-DANNY. X
          CEO-DANNY X, OMMY DIMPOZ NA KABOKU TANZANIANO-RAGGAE ARTIST        
                                  SHABIKI AKIJIACHIA NA OMMY DIMPOZ
                  MSURURU WA MASHABIKI WAKATI WAKIINGIA UKUMBINI        
 SIR MWALUBADU TOKA NORWAY OSLO AKIJIACHIA NA SHABIKI TOKA SWEDEN
                           DJ' PREDD PRO-1LOVE MUSIC SOUND TOKA OSLO,NORWAY.          
               KUNDI LA MZIKI LA BLACK CURTAINS-PUZZO LEE & MAU GADO
               SHABIKI AKIENDA SAWA NA OMMY DIMPOZ JUKWAANI
                       MASHABIKI WALIENDELEA KUJITOKEZA KWA KUCHEZA
Mnamo tarehe 1 mwezi wa kumi na moja mwaka huu 2014,msanii maarufu toka Tanzania wa muziki wa kizazi kipya ajulikanaye kwa jina la Ommy Dimpoz.
Alitua ramsi kwenye bara la ulaya na kuanza ziara ya maonyesho sehemu na miji tofauti kuzunguka bara zima la ulaya,ambapo kwa tarehe 1 novemba alianza kwa kufanya onesho ndani ya jiji la Rotterdam nchini Uholanzi chini ya kampuni mama ya burudani ijulikanayo kwa jina la Biboze Ent.
Aliendelea kuzunguka na nchi zingine mfano Belgium,Germany nk, onyesho lake hili lililofana zaidi nchini Sweden ndilo ilikuwa la mwisho kwenye mzunguko wake huu wa bara la Ulaya na anarejea Tanzania wiki hii kuendelea na maisha ya nyumbani.
Kitu kimoja ambacho hatokisahau Ommy ni kuhusu waandaaji wa Tamasha la mwisho nchini Sweden..Biorn Production Studios ambao pia ni wamiliki wa studios zilizopo Dodoma,Tanzania kwa Jina hilo hilo pale eneo la maili mbili,ambao wamefanya vema kwa upande wao kuhakikisha kila kitu kinakwenda kwa muda kuanzia kwenye malipo,show na vingine viliyosalia.
Kwa mujibu wa maelezo ya ceo wa Biorn production studios zilizopo nchini Sweden Mr.Danny X show hii imefanyika tarehe 15 mwezi Novemba 2014 kwenye ukumbi wa Rågsvedtorget-Folkets hus,Stockholm-Sweden.
Palikuwa na wasanii waliotangulia kufungua show kabla yake,ni wasanii waishio sweden ila wenye asili ya Tanzania. Kaboku Tanzaniano, Adam Kanyama na kundi la wasanii la Black Curtains.

Picha zote kwa hisani ya Biornproduction.