Mtoto aliyejeruhiwa na risasi
iliyomuua mama yake katika shambulio lililofanywa kwenye kanisa la JOY
OF JESUS Likoni Mombasa Nchini Kenya jumapili amefikishwa jijini Nairobi
kwa Ndege .
Satrin Osinya mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu
anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa kichwa katika Hospitali kuu ya
Kitaifa ya Kenyatta ili kuondoa risasi iliyoingia kwenye ubongo wake
baada ya kumuua mama yake .
SIKILIZA TAARIFA HII YA BBC KUTOKA KENYA