HUYU JAMAA ANAVIPAJI ZAIDI YA VITANO.... HATA UBUNIFU WA MAVAZI PIA NI MOJA YA KIPAJI CHAKE UNAONAJE MTOKO WAKE? - CAPITAL TZ BLOG DODOMA

Latest

BANNER 728X90

Thursday, 13 February 2014

HUYU JAMAA ANAVIPAJI ZAIDI YA VITANO.... HATA UBUNIFU WA MAVAZI PIA NI MOJA YA KIPAJI CHAKE UNAONAJE MTOKO WAKE?

Vijana wameamua kujiajiri bwana.. huyu brother amefika ofisini kwetu leo, anasema anavipaji vingi sana, kama kupaamba nyumba za watu, kurekebisha bustani, kuchekesha, kuimba na hata kutangaza.. ila kingine yeye ni mbunifu wa mavazi, na kwa taarifa yako tu, NAJUA WAJUA NAMI NAKUJUZA kiatu alichokivaa kina kilo 8... khatariii sana!! Aya bhana nikutakie siku njema