Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linamshikilia mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Ahadi Jesikaka Mkazi wa Kijiji cha Ngyekye kwa kosa la kuwauzia watu nyama ya mbwa.
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linamshikilia mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Ahadi Jesikaka Mkazi wa Kijiji cha Ngyekye kwa kosa la kuwauzia watu nyama ya mbwa.