HATARI SANA AKAMATWA AKIUZA NYAMA YA MBWA - CAPITAL TZ BLOG DODOMA

Latest

BANNER 728X90

Sunday, 9 November 2014

HATARI SANA AKAMATWA AKIUZA NYAMA YA MBWA



Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linamshikilia mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Ahadi Jesikaka Mkazi wa Kijiji cha Ngyekye kwa kosa la kuwauzia watu nyama ya mbwa.
Kamanda wa polisi Mkoa wa Mbeya, Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Ahmed Msangi amewataja watu waliouziwa na kutumia kitoweo hicho kuwa ni Enock Nsemwa, George Nsemwa, Anyandwile Mbwilo wote wakazi wa Ngyekye.